Jumatatu, 16 Februari 2015
Ni siku ya tarehe 15/02/2015 ambapo mzee Ebby Sykes, baba wa mwanamuziki mkongwe wa Bongo Fleva Dully Sykes alipofariki karika Hospitali ya Muhimbili. Leo mwili wake umepumzishwa katika makazi yake ya milele kwenye makaburi ya Kisutu mjini Dar es Salaam.
Mazishi hayo yalihudhuriwa na Viongozi mbalimbali kam vile Jaji Warioba , Mkuu wa Mkoa, Ridhiwan Kikwete , Jaji mkuu wa Zanzibar pia na wasanii wa Bongo Flava kama Ali Kiba ,Mr Blue , Rich Mavoko, Kassim Mganga, TID, na wengine wengi pia wasanii wa Bongo Movie pia walikwepo kama Ben, Rich na wengine wengi.
Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema apumzike kwa amani.
MATUKIO KATIKA MSIBA WA BABA YAKE NA DULLY SYKES,MZEE EBBY SYKES
Jumatatu, 19 Januari 2015
Baada ya Mwisho wa wiki iliyopita mwanamuziki mashuhuri anaeibebea sifa kubwa ya kimataifa nchi yetu Diamond Plutnumz kujinyakulia tuzo tatu katika tuzo za Channel O zilizofanyika Africa kusini,leo amerudi nchini na kutua uwanja wa ndege wa JK Nyerere saa nane mchana na kupokelewa na umati mkubwa wa mashabiki wake.
Mapokezi Ya Diamond Kutokea South Africa
Jisajili kwenye:
Machapisho
(
Atom
)