Jumatatu, 19 Januari 2015
Mapokezi Ya Diamond Kutokea South Africa
Baada ya Mwisho wa wiki iliyopita mwanamuziki mashuhuri anaeibebea sifa kubwa ya kimataifa nchi yetu Diamond Plutnumz kujinyakulia tuzo tatu katika tuzo za Channel O zilizofanyika Africa kusini,leo amerudi nchini na kutua uwanja wa ndege wa JK Nyerere saa nane mchana na kupokelewa na umati mkubwa wa mashabiki wake.
Baada ya kutua Diamond akiwa njiani kuelekea Escape 1 kwenye mkutano na waandishi wa habari alisindikizwa na Mashabiki wake na kupitia Buguruni,Kariakoo.Hizi ni baadhi ya Picha ilivyokua
Washabiki wa Diamond wakisindikiza msafara kuelekea Escape 1
Rommy Jones akiwa kwenye uskani wa gari alilopanda Diamond
Huku mziki ukiwasindikiza
Washabiki wakimtaka Diamond ashuke na kutembea nao
Askofu ripota wa Millard Ayo akimhoji Diamond
Baada ya kuzunguka toka Uwanja wa ndege mpaka kariakoo msafara ulielekea Escape 1 ambapo Diamond akienda kufanya mkutano na waandishi wa Habari.
Diamond akiwa sambamba na Meneja wake Bau Tale
Tuzo tatu alizochukua Diamond
Meneja mwingine wa Diamond Mkubwa Fela
Meneja Babu Tale
Baadhi ya mashabiki wa Diamond wakisikiliza kwa makini
Mwakilishi kutoka DSTV akiongea yake
Watu wanashangilia "TemboTemboTembo"
Picha na Octavian Francis
Baada ya kutua Diamond akiwa njiani kuelekea Escape 1 kwenye mkutano na waandishi wa habari alisindikizwa na Mashabiki wake na kupitia Buguruni,Kariakoo.Hizi ni baadhi ya Picha ilivyokua
Washabiki wa Diamond wakisindikiza msafara kuelekea Escape 1
Rommy Jones akiwa kwenye uskani wa gari alilopanda Diamond
Huku mziki ukiwasindikiza
Washabiki wakimtaka Diamond ashuke na kutembea nao
Askofu ripota wa Millard Ayo akimhoji Diamond
Baada ya kuzunguka toka Uwanja wa ndege mpaka kariakoo msafara ulielekea Escape 1 ambapo Diamond akienda kufanya mkutano na waandishi wa Habari.
Diamond akiwa sambamba na Meneja wake Bau Tale
Tuzo tatu alizochukua Diamond
Meneja mwingine wa Diamond Mkubwa Fela
Meneja Babu Tale
Baadhi ya mashabiki wa Diamond wakisikiliza kwa makini
Mwakilishi kutoka DSTV akiongea yake
Watu wanashangilia "TemboTemboTembo"
Picha na Octavian Francis