Jumatatu, 19 Januari 2015
Nusu Fainali Ya Pili Ya Ndondo Cup, Burudani FC Vs Abajalo FC
Nusu fainali za Ndondo Cup zimeendelea leo katika viwanja vya bandari vilivyoko maeneo ya Tandika Mwembe Yanga na kumalizika na ushindi wa mabao 3-1 yaliofungwa na timu ya Abajalo FC dhidi ya Burudani FC.
Pia michezo ya kucheza na nyoka ilihusika na huyu ni moja ya washabiki wa timu ya Abajalo Fc.
Washabiki wa Ndondo Cup wakiwa wanafatilia kwa makini mchezo huo baina ya Burudani FC vs Abajalo FC
Mtangazaji wa Clouds Shaffi Dauda na mwenzie Maestro wakifatilia mechi kwa mikini
Mmoja wa washabiki wa Burudani FC alietia fola kwenye mashindano hayo
Waamuzi wakijadiliana machache kabla ya kuanza kipindi cha pili
"Toroka Uje"
Kocha wa Burudani FC akitoa mawaidha kwa wachezaji wake wakati wa mapumziko
Wachezaji wa Abajalo FC wakimsikiliza kocha wao akiwapa mbinu za uwanjani
Mbwiga akifanya yake huku akiwa amezungukwa na washabiki kibao
Kocha wa Abajalo FC akizungumza na kipaza cha Clouds TV
Kocha wa Burudani FC maarufu kwa jina la kocha kijana akiongea na Mbwiga baada ya mechi kuisha